Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 13, 2024

December 13, 2024 10:06 am · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ndani ya wiki hii thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika kila siku dhidi ya dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,500.61 na kuuzwa Sh2,525.62 Disemba 10, 2024. Kwa muda wa siku nne hadi kufikia leo Disemba 13 thamani ya dola kununuliwa imepungua kwa Sh205.91 na kuuzwa Sh2,294.7 wakati ya kuuza ikipungua kwa Sh208.02 hali inayotoa ahueni kwa wafanyabiashara wanaotumia dola kuagiza bidhaa.

Kutoka jana Disemba 12 thamani ya kununua dola imepungua kwa Sh64.45 huku ya kuuza ikipungua kwa Sh65.15 kwa mujibu wa viwango vya Benki Kuu.

Thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika pia dhidi ya sarafu za Euro kutoka Disemba 10 kwa Sh240.5 sambamba na sarafu ya China (CYN) kwa Sh28.48 kwa bei za kununua wakati Euro ikipungua kwa Sh243.17 sambamba na CYN kupungua Sh28.71.

kwa kipindi cha wiki moja bei ya dhahabu pia imeendelea kushuka kila siku, kutoka jumanne Disemba 10 bei ya kukua imepungua kwa Sh365,493 sambamba na ya kuuza kwa Sh367,444. Kutoka jana bei ya kununua imeshuka kwa Sh159,943 na ya kuuza kwa Sh162,611.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV