Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 31, 2024

December 31, 2024 10:02 am · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Thamani ya Shilingi ya Tanzania imeshuka kidogo kwa Sh1 dhidi ya Dola ya Marekani, ambayo leo inanunuliwa kwa Sh2,382 na kuuzwa kwa Sh2,406. Hali hii ni tofauti na jana, Desemba 30, 2024, ambapo Dola ilipatikana kwa Sh2,381 kununua na Sh2,405 kuuza.

Kwa wastani wa mwezi mzima kutoka Desemba 1, Dola ya Marekani imekuwa na thamani ya Sh2,394.75, kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Kwa waliohifadhi fedha za kigeni, kushuka kidogo kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania kunatoa fursa nzuri ya kubadilisha fedha hizo, kwa sababu mabadiliko ya hivi sasa yanawapa faida zaidi kutokana na kiwango cha juu cha ubadilishaji wa Dola ya Marekani.

Bei ya dhahabu imeendelea kushuka, kutoka jana ilipokuwa ikinunuliwa kwa Sh6,254,478 imepungua kwa Sh9,789 na leo kununuliwa Sh6,244,689.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.