Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania leo Disemba 17, 2024

December 17, 2024 9:22 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,44 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imeendelea kusalia sawa leo Disemba 17,2024 huku kwa upande wa Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani inaendelea kuimarika kutoka kununuliwa Sh2,291.04 na kuuzwa Sh2,313.95 jana Disemba 16, 2024 hadi kufikia kununuliwa Sh2,310. 89 na kuuzwa Sh2,334 Jumanne ya leo Disemba 17,2024.

Thamani ya Dola ya Marekani katika Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) imeongezeka kuuzwa Sh19.85 na kununuliwa ikiwa na ongezeko la Sh20.05.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV