Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania leo Disemba 17, 2024

December 17, 2024 9:22 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,44 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imeendelea kusalia sawa leo Disemba 17,2024 huku kwa upande wa Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani inaendelea kuimarika kutoka kununuliwa Sh2,291.04 na kuuzwa Sh2,313.95 jana Disemba 16, 2024 hadi kufikia kununuliwa Sh2,310. 89 na kuuzwa Sh2,334 Jumanne ya leo Disemba 17,2024.

Thamani ya Dola ya Marekani katika Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) imeongezeka kuuzwa Sh19.85 na kununuliwa ikiwa na ongezeko la Sh20.05.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV