Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania leo Disemba 17, 2024
December 17, 2024 9:22 am ยท
Fatuma Hussein
Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,44 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imeendelea kusalia sawa leo Disemba 17,2024 huku kwa upande wa Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya Marekani inaendelea kuimarika kutoka kununuliwa Sh2,291.04 na kuuzwa Sh2,313.95 jana Disemba 16, 2024 hadi kufikia kununuliwa Sh2,310. 89 na kuuzwa Sh2,334 Jumanne ya leo Disemba 17,2024.
Thamani ya Dola ya Marekani katika Benki ya Kuu ya Tanzania (BoT) imeongezeka kuuzwa Sh19.85 na kununuliwa ikiwa na ongezeko la Sh20.05.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
