Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025
October 15, 2025 8:44 am ·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki za CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Oktoba 15, 2025.
Viwango hivi, vinavyotarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.

Latest

3 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

9 hours ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Si kweli: TEC imetoa waraka kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025