Rais Samia aungana na Watanzania kumuaga Dk Ndugulile

December 2, 2024 10:56 am · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wa Serikali, familia, na wananchi katika kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mbuge wa jimbo la Kivukoni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, aliyeaga dunia Novemba 27, 2024.

Shughuli ya kumuaga Dk Ndugulile inafanyika leo katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Dk Ndugulile alifariki dunia Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu ikiwa ni miezi mitatu tangu achaguliwe kuwa Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Nukta TV

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Nukta TV