Rais Samia aungana na Watanzania kumuaga Dk Ndugulile

December 2, 2024 10:56 am · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wa Serikali, familia, na wananchi katika kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mbuge wa jimbo la Kivukoni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, aliyeaga dunia Novemba 27, 2024.

Shughuli ya kumuaga Dk Ndugulile inafanyika leo katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Dk Ndugulile alifariki dunia Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu ikiwa ni miezi mitatu tangu achaguliwe kuwa Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV