Rais Samia aungana na Watanzania kumuaga Dk Ndugulile
December 2, 2024 10:56 am ยท
Davis Matambo
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wa Serikali, familia, na wananchi katika kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mbuge wa jimbo la Kivukoni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya kanda ya Afrika, aliyeaga dunia Novemba 27, 2024.
Shughuli ya kumuaga Dk Ndugulile inafanyika leo katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Dk Ndugulile alifariki dunia Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu ikiwa ni miezi mitatu tangu achaguliwe kuwa Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika.
Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย