Makosa matano yanayowasumbua wajasiriamali

July 7, 2021 10:09 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kukataa kujiendeleza kielimu.
  • Wengine wanataka kumridhisha kila mtu na hivyo kukosa dira.
  • Unashauriwa kuwekeza kwenye kujifunza njia bora za kufanya biashara yako

Dar es Salaam. Kuanzisha biashara kama mjasiriamali ni hatua moja lakini kuiendeleza biashara hiyo ili izidi kukupatia kipato ni hatua nyingine ambayo inahitaji uthubutu, kujifunza na kukubali kuachilia baadhi ya itikadi zako za kibiashara pale zinapokuwa hazifanyi kazi.

Hata hivyo, kutokana na uoga na kukataa kuthubutu, wanaendelea kupiga hatua moja mbele na moja nyuma na kubaki palepale walipoanzia.

Tovuti ya masuala ya ujasiriamali ya entreprenoria.com imesema kati ya vitu ambavyo wajasiriamali wanapaswa kuviepuka ni pamoja na hofu ya kutaka kumridhisha kila mtu na kulipotezea wazo la biashara kwa kuogopa mtazamo ambao watu wanaweza kuwa nao juu yako.

Kama unauhakika na unachokifanya na umefanya utafiti wa kutosha, unahitaji uthubutu wa kufanya jambo hilo huku ukiwekeza kila tone la nguvu yako kuona linafanikiwa. 

Makosa ya wajasiriamali wengi yapo katika video hii fupi. Tafadhali tazama.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV