Makosa matano yanayowasumbua wajasiriamali

July 7, 2021 10:09 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kukataa kujiendeleza kielimu.
  • Wengine wanataka kumridhisha kila mtu na hivyo kukosa dira.
  • Unashauriwa kuwekeza kwenye kujifunza njia bora za kufanya biashara yako

Dar es Salaam. Kuanzisha biashara kama mjasiriamali ni hatua moja lakini kuiendeleza biashara hiyo ili izidi kukupatia kipato ni hatua nyingine ambayo inahitaji uthubutu, kujifunza na kukubali kuachilia baadhi ya itikadi zako za kibiashara pale zinapokuwa hazifanyi kazi.

Hata hivyo, kutokana na uoga na kukataa kuthubutu, wanaendelea kupiga hatua moja mbele na moja nyuma na kubaki palepale walipoanzia.

Tovuti ya masuala ya ujasiriamali ya entreprenoria.com imesema kati ya vitu ambavyo wajasiriamali wanapaswa kuviepuka ni pamoja na hofu ya kutaka kumridhisha kila mtu na kulipotezea wazo la biashara kwa kuogopa mtazamo ambao watu wanaweza kuwa nao juu yako.

Kama unauhakika na unachokifanya na umefanya utafiti wa kutosha, unahitaji uthubutu wa kufanya jambo hilo huku ukiwekeza kila tone la nguvu yako kuona linafanikiwa. 

Makosa ya wajasiriamali wengi yapo katika video hii fupi. Tafadhali tazama.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV