Makosa matano yanayowasumbua wajasiriamali

July 7, 2021 10:09 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kukataa kujiendeleza kielimu.
  • Wengine wanataka kumridhisha kila mtu na hivyo kukosa dira.
  • Unashauriwa kuwekeza kwenye kujifunza njia bora za kufanya biashara yako

Dar es Salaam. Kuanzisha biashara kama mjasiriamali ni hatua moja lakini kuiendeleza biashara hiyo ili izidi kukupatia kipato ni hatua nyingine ambayo inahitaji uthubutu, kujifunza na kukubali kuachilia baadhi ya itikadi zako za kibiashara pale zinapokuwa hazifanyi kazi.

Hata hivyo, kutokana na uoga na kukataa kuthubutu, wanaendelea kupiga hatua moja mbele na moja nyuma na kubaki palepale walipoanzia.

Tovuti ya masuala ya ujasiriamali ya entreprenoria.com imesema kati ya vitu ambavyo wajasiriamali wanapaswa kuviepuka ni pamoja na hofu ya kutaka kumridhisha kila mtu na kulipotezea wazo la biashara kwa kuogopa mtazamo ambao watu wanaweza kuwa nao juu yako.

Kama unauhakika na unachokifanya na umefanya utafiti wa kutosha, unahitaji uthubutu wa kufanya jambo hilo huku ukiwekeza kila tone la nguvu yako kuona linafanikiwa. 

Makosa ya wajasiriamali wengi yapo katika video hii fupi. Tafadhali tazama.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV