Tafakari haya kabla ya kuingia kwenye ujasiriamali
November 25, 2020 6:20 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na nia thabiti pia kuifahamu biashara unayotaka kuifanya.
- Hakikisha una wazo bora na mtaji wa kuendesha biashara.
- Tafuta mshauri wa biashara ili kuepuka makosa.
Dar es Salaam. Wapo watu wengi wanatamani kujiajiri kwa kungia kwenye ujasiriamali lakini wanashindwa ni wapi waanzie.
Baadhi yao hufikiri kuwa ufunguo wa kuingia kwenye ujasiriamali ni mtaji pekee, hawafahamu kuwa yapo mambo mengine wanayopaswa kuzingatia ili wafanikiwe katika kile wanachokifanya.
Miongoni mwa mambo hayo ni kuwa na msukumo binafsi katika biashara yako kwani wewe ndiyo una maono na biashara yako na siyo jirani, ndugu wala rafiiki zako.
Je, unahitaji nini ili uingie kwenye ujasiriamali, tazama video hii.
Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
