Tafakari haya kabla ya kuingia kwenye ujasiriamali
November 25, 2020 6:20 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na nia thabiti pia kuifahamu biashara unayotaka kuifanya.
- Hakikisha una wazo bora na mtaji wa kuendesha biashara.
- Tafuta mshauri wa biashara ili kuepuka makosa.
Dar es Salaam. Wapo watu wengi wanatamani kujiajiri kwa kungia kwenye ujasiriamali lakini wanashindwa ni wapi waanzie.
Baadhi yao hufikiri kuwa ufunguo wa kuingia kwenye ujasiriamali ni mtaji pekee, hawafahamu kuwa yapo mambo mengine wanayopaswa kuzingatia ili wafanikiwe katika kile wanachokifanya.
Miongoni mwa mambo hayo ni kuwa na msukumo binafsi katika biashara yako kwani wewe ndiyo una maono na biashara yako na siyo jirani, ndugu wala rafiiki zako.
Je, unahitaji nini ili uingie kwenye ujasiriamali, tazama video hii.
Latest

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere