Tafakari haya kabla ya kuingia kwenye ujasiriamali
November 25, 2020 6:20 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na nia thabiti pia kuifahamu biashara unayotaka kuifanya.
- Hakikisha una wazo bora na mtaji wa kuendesha biashara.
- Tafuta mshauri wa biashara ili kuepuka makosa.
Dar es Salaam. Wapo watu wengi wanatamani kujiajiri kwa kungia kwenye ujasiriamali lakini wanashindwa ni wapi waanzie.
Baadhi yao hufikiri kuwa ufunguo wa kuingia kwenye ujasiriamali ni mtaji pekee, hawafahamu kuwa yapo mambo mengine wanayopaswa kuzingatia ili wafanikiwe katika kile wanachokifanya.
Miongoni mwa mambo hayo ni kuwa na msukumo binafsi katika biashara yako kwani wewe ndiyo una maono na biashara yako na siyo jirani, ndugu wala rafiiki zako.
Je, unahitaji nini ili uingie kwenye ujasiriamali, tazama video hii.
Latest
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
16 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka