Tafakari haya kabla ya kuingia kwenye ujasiriamali

November 25, 2020 6:20 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa na nia thabiti pia kuifahamu biashara unayotaka kuifanya. 
  • Hakikisha una wazo bora na mtaji wa kuendesha biashara.
  • Tafuta mshauri wa biashara ili kuepuka makosa.

Dar es Salaam. Wapo watu wengi wanatamani kujiajiri kwa kungia kwenye ujasiriamali lakini wanashindwa ni wapi waanzie.

Baadhi yao hufikiri  kuwa ufunguo wa kuingia kwenye ujasiriamali ni mtaji pekee, hawafahamu kuwa yapo mambo mengine wanayopaswa kuzingatia ili wafanikiwe katika kile wanachokifanya.

Miongoni mwa mambo hayo ni kuwa na msukumo binafsi katika biashara yako kwani wewe ndiyo una maono na biashara yako na siyo jirani, ndugu wala rafiiki zako.

Je, unahitaji nini ili uingie kwenye ujasiriamali, tazama video hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV