Kilimo cha kisasa bado bado Tanzania
April 23, 2022 6:28 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Sensa ya Taifa ya Kilimo Tanzania ya mwaka 2019/20 ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), asilimia 33.3 au theluthi ya kaya za wakulima hutumia matreka au majembe ya kukokotwa na wanyama kulimia mashamba yao huku Mkoa wa Dodoma ukiongoza Tanzania kwa matumizi ya vifaa hivyo.
Hata hivyo, wakulima wengi bado wanatumia majembe ya mkono, jambo linalowazuia kuongeza uzalishaji wa mazao bora ya kilimo na soko la kimataifa. Unafikiri nini kifanyike kuwawezesha wakulima kulima kilimo cha kisasa?
Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028