Kilimo cha kisasa bado bado Tanzania
April 23, 2022 6:28 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Sensa ya Taifa ya Kilimo Tanzania ya mwaka 2019/20 ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), asilimia 33.3 au theluthi ya kaya za wakulima hutumia matreka au majembe ya kukokotwa na wanyama kulimia mashamba yao huku Mkoa wa Dodoma ukiongoza Tanzania kwa matumizi ya vifaa hivyo.
Hata hivyo, wakulima wengi bado wanatumia majembe ya mkono, jambo linalowazuia kuongeza uzalishaji wa mazao bora ya kilimo na soko la kimataifa. Unafikiri nini kifanyike kuwawezesha wakulima kulima kilimo cha kisasa?
Latest
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu ugonjwa wa hantavirus
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili