Kilimo cha kisasa bado bado Tanzania

April 23, 2022 6:28 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Sensa ya Taifa ya Kilimo Tanzania ya mwaka 2019/20 ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), asilimia 33.3 au theluthi ya kaya za wakulima hutumia matreka au majembe ya kukokotwa na wanyama kulimia mashamba yao huku Mkoa wa Dodoma ukiongoza Tanzania kwa matumizi ya vifaa hivyo.

Hata hivyo, wakulima wengi bado wanatumia majembe ya mkono, jambo linalowazuia kuongeza uzalishaji wa mazao bora ya kilimo na soko la kimataifa. Unafikiri nini kifanyike kuwawezesha wakulima kulima kilimo cha kisasa?

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.