Jinsi ya kujikinga na Corona unapoanza mwaka 2021

December 30, 2020 8:49 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ni mwishoni mwa mwaka na baaadhi ya watu na makampuni yameanza kufanya mipango kwa ajili ya mwaka 2021.

Hata wakati shughuli hizo zikiendelea, huenda baadhi ya watu wanashindwa kuhusisha ugonjwa wa Corona ambao bado unasumbua baadhi ya nchi ulimwenguni katika mipango yao.

Kwa kampuni, ni vyema kuweka bajeti ya kununua vitu muhimu kama vitakasa mikono a tishu na vitu vingine vya usafi vitakavyosaidia kupambana na ugonjwa wa Corona.

Je, kwa mtu binafsi ni nini kinatakiwa kuzingatiwa? tazama video hii kujua zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV