Unataka kununua bidhaa kwa ajili ya kujikinga na Corona? Zingatia haya

February 16, 2021 10:11 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Siyo jambo geni, wapo wafanyabiashara wanaoona fursa ndani ya ugonjwa wa Corona.

Wapo ambao wametengeneza vitakasa mikono, sabuni za kunawia mikono na hata barakoa ili kufanya biashara katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mapafu ili wajiingizie kipato.

Ili kuwa makini na kutokuishia kununua bidhaa ambazo hazikidhi vigezo, unaweza kuzingatia dondoo hizi:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW