Unataka kununua bidhaa kwa ajili ya kujikinga na Corona? Zingatia haya
February 16, 2021 10:11 am ·
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Siyo jambo geni, wapo wafanyabiashara wanaoona fursa ndani ya ugonjwa wa Corona.
Wapo ambao wametengeneza vitakasa mikono, sabuni za kunawia mikono na hata barakoa ili kufanya biashara katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mapafu ili wajiingizie kipato.
Ili kuwa makini na kutokuishia kununua bidhaa ambazo hazikidhi vigezo, unaweza kuzingatia dondoo hizi:
Kabla ya kutumia bidhaa yoyote ya kujikinga na ugonjwa wa Corona ikiwemo barakoo, zingatia haya.#VumbuaUkweli
pic.twitter.com/AtnoMY3BUk— NuktaFakti (@NuktaFakti) February 16, 2021
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
