Corona bado ipo Tanzania, chukua tahadhari
February 9, 2022 12:46 pm ยท
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wizara wa Afya imesema hadi kufika Februari 6, 2022 jumla ya watu 33,482 wamethibitika kuwa na maambukizi ya Corona (Uviko-19) na 792 kati yao wamepoteza maisha huku Serikali ikiimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Hata hivyo, amesema mwenendo wa utoaji wa chanjo ni wa kuridhisha ambapo takwimu za Februari 6, 2022 jumla ya watu milioni 2.11 milioni sawa na asilimia 3.6 ya Watanzania waliokuwa wamepata chanjo kamili.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
