Corona bado ipo Tanzania, chukua tahadhari
February 9, 2022 12:46 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wizara wa Afya imesema hadi kufika Februari 6, 2022 jumla ya watu 33,482 wamethibitika kuwa na maambukizi ya Corona (Uviko-19) na 792 kati yao wamepoteza maisha huku Serikali ikiimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Hata hivyo, amesema mwenendo wa utoaji wa chanjo ni wa kuridhisha ambapo takwimu za Februari 6, 2022 jumla ya watu milioni 2.11 milioni sawa na asilimia 3.6 ya Watanzania waliokuwa wamepata chanjo kamili.

Latest
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028