Corona bado ipo Tanzania, chukua tahadhari

February 9, 2022 12:46 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wizara wa Afya imesema hadi kufika Februari 6, 2022 jumla ya watu 33,482 wamethibitika kuwa na maambukizi ya Corona (Uviko-19) na 792 kati yao wamepoteza maisha huku Serikali ikiimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Hata hivyo, amesema mwenendo wa utoaji wa chanjo ni wa kuridhisha ambapo takwimu za Februari 6, 2022 jumla ya watu milioni 2.11 milioni sawa na asilimia 3.6 ya Watanzania waliokuwa wamepata chanjo kamili.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta TV