Corona ipo, chukua tahadhari

June 8, 2022 8:38 am · admin
Share
Tweet
Copy Link
  • Kati ya Mei 5 hadi Juni 3, Wizara hiyo imeripoti jumla ya visa vipya 160.

Dar es Salaam. Wizara ya Afya nchini Tanzania imewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Uviko-19 ikiwemo kupata chanjo kwa sababu ugonjwa huo bado upo.

Kati ya Mei 5 hadi Juni 3, Wizara hiyo imeripoti jumla ya visa vipya 160 ingawa hakujaripotiwa kifo chochote katika miezi miwili iliyopita.

Tarifa hiyo ya wizara hiyo iliyotolewa Juni 7, 2022 imeainisha mikoa ambayo imeripoti kiwango kikubwa cha maambukizi ambapo Dar es salaam imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2) na Mara  ni visa viwili.

Waliopata chanjo kati ya Mei 5 mpaka Juni 3 ni 775,680 huku wagonjwa watatu waliothibitika kuwa na maabukizi na kulazwa wote walikuwa hawajapata chanjo hivyo wizara imeendelea kusisitiza wananchi kupata chanjo kamili ya Uviko-19.

Kujikinga na ugonjwa huo, wananchi wametakiwa kupata chanjo, kunawa mikono mara kwa mara, kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.