Wananchi zaidi ya 200,000 wapata chanjo ya Corona Tanzania

August 16, 2021 10:24 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuratibu zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona aina ya Johnson & Johnson kwa makundi ya walengwa (watumishi wa afya, watu wenye umri wa miaka zaidi ya 50 na wagonjwa).

Hadi kufikia Agosti 14, 2021 jumla ya walengwa 207,391 walikuwa wameshapatiwa chanjo. Kati ya walengwa hao, 121,002 ni wanaume sawa na asilimia 58.3..

Unasubiri nini kuchanjwa?

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV