Wananchi zaidi ya 200,000 wapata chanjo ya Corona Tanzania

August 16, 2021 10:24 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kuratibu zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona aina ya Johnson & Johnson kwa makundi ya walengwa (watumishi wa afya, watu wenye umri wa miaka zaidi ya 50 na wagonjwa).

Hadi kufikia Agosti 14, 2021 jumla ya walengwa 207,391 walikuwa wameshapatiwa chanjo. Kati ya walengwa hao, 121,002 ni wanaume sawa na asilimia 58.3..

Unasubiri nini kuchanjwa?

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Nukta TV

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Nukta TV