Currencies
Currencies · June 25, 2026 9:00 am
Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Euro imeshuka kwa Sh25 katika kiwango cha kununua na Sh25 katika kiwango cha kuuza ndani ya siku moja.
Currencies · June 24, 2026 10:07 am
Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Euro imeshuka kwa Sh47 katika kiwango cha kununua na Sh49 katika kiwango cha kuuza ndani ya kipindi hicho.
Currencies · June 23, 2026 9:38 am
Sarafu ya Umoja wa Ulaya (Euro) imeendelea kupungua thamani katika soko la fedha za kigeni nchini leo Juni 23, 2026 huku viwango hivyo vikionyesha kushuka katika benki za CRDB na NMB ikilinganishwa na jana.
Currencies · June 22, 2026 9:47 am
Rupia ya India, Shilingi ya kenya zimeonyesha kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Juni 22, 2026 ikilinganishwa na viwango vya Alhamisi, Juni 18, 2026, huku sarafu kubwa za kimataifa zikishuka.
Currencies · June 15, 2026 10:57 am
Wafanyabiashara na waagizaji wa bidhaa wanaotegemea dola kupitia NMB watalazimika kutumia fedha zaidi kidogo mwanzoni mwa wiki hii.
Currencies · June 10, 2026 9:14 am
Sarafu nyingine zilizoonyesha mabadiliko kidogo ni pamoja na Pauni ya Uingereza (GBP) Yuan ya China (CNY) na Rupia ya India (INR).
Currencies · June 9, 2026 9:06 am
Hali inayoonyesha kuwa hakuna mabadiliko makubwa ya mahitaji na upatikanaji wa sarafu hiyo kwenye soko.
Currencies · June 8, 2026 9:51 am
Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Euro imeshuka kwa Sh2 katika viwango vyote vya kununua na kuuza ndani ya wiki kwa Benki ya NMB.
Currencies · June 4, 2026 10:43 am
Hali inayoonyesha kuwa hakuna mabadiliko makubwa ya mahitaji na upatikanaji wa sarafu hiyo kwenye soko.
Currencies · June 3, 2026 9:39 am
Kutulia kwa viwango hivyo kunaonyesha kuwa mahitaji na upatikanaji wa dola yameendelea kuwa katika uwiano unaofanana.
Currencies · June 2, 2026 9:48 am
Ni baada ya kuimarika kwa asilimia 0.5 ndani ya mwezi Mei
Currencies · June 1, 2026 12:40 pm
Ni katika kipindi cha kuanzia mwanzoni mwa mwezi Mei
Currencies · May 29, 2026 10:45 am
Siku ya Jumatatu, sarafu hiyo ilinunuliwa kwa Sh3,361.12 na kuuzwa kwa Sh3,661.12, hali inayomaanisha kuwa hadi leo imeongezeka kwa Sh1.24 katika viwango vyote viwili.
Currencies · May 28, 2026 8:39 am
Dola ya Marekani (USD) kupitia Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665, huku kupitia Benki ya NMB ikinuNuliwa kwa Sh2,583 na kuuzwa kwa Sh2,663.
Currencies · May 25, 2026 10:09 am
Kwa upande wa NMB, Euro imenunuliwa kwa Sh2,903 sawa na wiki iliyopita huku kiwango cha kuuza kikiongezeka kutoka Sh3,176 hadi Sh3,177.