Dola ya Marekani tulivu,sarafu nyingine zaongezeka kidogo Juni 10, 2026

June 10, 2026 9:14 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Sarafu nyingine zilizoonyesha mabadiliko kidogo ni pamoja na GBP , CNY na INR.

Dar es Salaam. Dola ya Marekani imeendelea kuwa tulivu katika soko la fedha za kigeni nchini, ndani ya wiki mbili zilizopita kuanzia Mei 30, 2026.

Katika viwango vinavyotumika leo Juni 10, 2026, fedha hiyo inayoshika hatamu duniani imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665 kupitia Benki ya CRDB, huku Benki ya NMB ikinunua kwa Sh2,580 na kuuza kwa Sh2,660, viwango ambavyo vimebaki imara bila mabadiliko tangu jana.

Wakati Dola ikiendelea kutulia, baadhi ya sarafu za kimataifa zimeonyesha ongezeko dogo la thamani dhidi ya Shilingi ya Tanzania. 

Sarafu ya Umoja wa Ulaya (Euro) katika Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,875.91 na kuuzwa kwa  Sh3,175.91 kutoka Sh2,866.81 iliyokuwa ikinunuliwa na kuuzwa ya Sh3,166.81 iliyotumika jana.

Sarafu nyingine zilizoonyesha mabadiliko kidogo ni pamoja na Pauni ya Uingereza (GBP) Yuan ya China (CNY) na Rupia ya India (INR).

Mabadiliko hayo yanaonyesha kuwa licha ya utulivu wa Dola ya Marekani, baadhi ya sarafu za kimataifa zimeendelea kupata nguvu kidogo dhidi ya Shilingi ya Tanzania katika biashara ya leo ya fedha za kigeni.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
20 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
20 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Ufahamu 'BIPOLAR' Part 2 | Ugonjwa wa afya ya akili unaoweza kupelekea kifo

Ufahamu 'BIPOLAR' Part 2 | Ugonjwa wa afya ya akili unaoweza kupelekea kifo

Nukta TV

DCI, CDF, IGP wakataa kumtetea Lissu katika kesi ya uhaini

DCI, CDF, IGP wakataa kumtetea Lissu katika kesi ya uhaini

Nukta TV

Sio nyama na matunda tu, Wahadzabe sasa wanakula ugali

Sio nyama na matunda tu, Wahadzabe sasa wanakula ugali

Nukta TV