Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi
March 2, 2026 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Tanga itakulazimu kulipia Sh140,000 ambayo ni mara 2 na nusu ya bei ya chini iliyorekodiwa mkoani Njombe ya Sh55,600 kwa gunia la kilo 100.
Wakati wakazi wa mkoa huo wakilia na bei hiyo, hali ni tofauti kwa wakazi wa mkoani wa Dar es Salaam ambao wananunua gunia la kilo 100 za viazi mbatata/ mviringo kwa Sh60,000 ambayo ni mara 3 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh180,000.

Latest
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Vita vya Iran inavyoweza kuathiri uchumi wa Tanzania
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 2, 2026
3 days ago
·
Lucy Samson
Ufanye nini nyumba ikizingirwa na mafuriko?
4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 27,2026