Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 19,2024
December 19, 2024 9:57 am ·
Kelvin Makwinya
Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,440 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imepanda Kwa Sh10 ambapo inanunuliwa Sh2,300 na kuuzwa Sh2,450 leo Disemba 19,2024 huku kwa upande wa Benki ya NMB Dola ya Marekani inaendelea kuimarika ambapo inanunuliwa Sh2,310 na kuuzwa Sh2,450 Alhamisi ya leo Disemba 17,2024.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026