Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
September 27, 2024 6:15 pm ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.
Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.
Latest
16 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Wafanyabiashara madini watakiwa kuuza 20% ya dhahabu BoT
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia apigia chapuo matumizi ya Tehama kwa wanafunzi Tanzania
2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Vodacom Tanzania yazindua huduma za matengenezo ya simu kwa wateja wake
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 27, 2024