Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi

September 27, 2024 6:15 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.

Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Enable Notifications OK No thanks