Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti
4 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya fedha za kigeni vyabaki tulivu, baadhi ya sarafu zapanda kidogo Aprili 28