Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest
16 hours ago
·
Lucy Samson
BoT yatangaza nafasi za ajira 83
17 hours ago
·
Waandishi Wetu
Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 12, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu