Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest
6 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Kada wa Chadema ‘Boni yai’ akamatwa na Jeshi la Polisi
7 hours ago
·
Davis Matambo
Neuralink kuja na teknolojia itayowawezesha vipofu kuona
11 hours ago
·
Lucy Samson
Jinsi ya kuongeza ushiriki wa vijana kwenye uchaguzi Tanzania
14 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 18, 2024