Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest

5 hours ago
·
Lucy Samson
Mkutano wa G25 kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
From shortage to solution: The role of specialized trainings in Tanzania healthcare revamp

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Elimu, uongozi visiwasahaulishe wanawake wajibu wa malezi

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 21, 2025