Ngano bei juu mkoani Lindi

September 13, 2024 7:31 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.

Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV