Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest

19 hours ago
·
Esau Ng'umbi
From shortage to solution: The role of specialized trainings in Tanzania healthcare revamp

19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Elimu, uongozi visiwasahaulishe wanawake wajibu wa malezi

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 21, 2025

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia azindua tume kutathimini migogoro wa ardhi, uhamaji wa hiari Ngorongoro