Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest

2 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

1 day ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

1 day ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis