Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest
8 hours ago
·
Mwandishi
Fursa, EU ikiiondoa Tanzania katika orodha ya nchi hatarishi kifedha
16 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 21, 2026
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Wananchi watakavyonufaika na usambazaji wa umeme katika vitongoji 9,009
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
JKT yatangaza nafasi za mafunzo ya kujitolea kwa vijana 2026