Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi
15 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Vita vya Iran inavyoweza kuathiri uchumi wa Tanzania
22 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 2, 2026
3 days ago
·
Lucy Samson
Ufanye nini nyumba ikizingirwa na mafuriko?