Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest
24 hours ago
·
Fatuma Hussein
Rais Kagame kufanya ziara ya kikazi Tanzania kesho
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Vijana 7,593 wamepata ajira nje ya nchi
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Makonda: Vyombo vya habari haviwezi kuwa huru bila uchumi imara
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti