Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi

September 2, 2024 6:18 pm · Bacley Madyane
Share
Tweet
Copy Link

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.

Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV