Bei ya ngano bado haishikiki mkoani Lindi
September 2, 2024 6:18 pm ·
Bacley Madyane

Bei ya ngano Lindi ni mara sita zaidi ya ile iliyotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati na mikate.
Wakati Lindi wakilia na ngano, wakazi wa Dar es Salaam wanaendelea kuvunja vibubu baada ya gunia la kilo 100 la maharage kuuzwa kwa bei ya juu katika jiji la Dar es Salaam kwa Sh390,000, zaidi ya mara mbili ya bei ya chini iliyorekodiwa Arusha ambayo ni Sh160,000.
Latest
2 days ago
·
Goodluck Gustaph
Idadi ya watu Zanzibar kuongezeka hadi milioni 2.16 mwaka 2026
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Smartphone 5 zilizopendwa zaidi 2025
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Fahamu wanamichezo 10 wanaolipwa zaidi duniani 2025
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Uhamiaji yatangaza nafasi za ajira kwa vijana Tanzania