Jinsi ya kujikinga na Corona unapoanza mwaka 2021
December 30, 2020 8:49 am ยท
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Ni mwishoni mwa mwaka na baaadhi ya watu na makampuni yameanza kufanya mipango kwa ajili ya mwaka 2021.
Hata wakati shughuli hizo zikiendelea, huenda baadhi ya watu wanashindwa kuhusisha ugonjwa wa Corona ambao bado unasumbua baadhi ya nchi ulimwenguni katika mipango yao.
Kwa kampuni, ni vyema kuweka bajeti ya kununua vitu muhimu kama vitakasa mikono a tishu na vitu vingine vya usafi vitakavyosaidia kupambana na ugonjwa wa Corona.
Je, kwa mtu binafsi ni nini kinatakiwa kuzingatiwa? tazama video hii kujua zaidi.
Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย