Jinsi ya kujikinga na Corona unapoanza mwaka 2021

December 30, 2020 8:49 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ni mwishoni mwa mwaka na baaadhi ya watu na makampuni yameanza kufanya mipango kwa ajili ya mwaka 2021.

Hata wakati shughuli hizo zikiendelea, huenda baadhi ya watu wanashindwa kuhusisha ugonjwa wa Corona ambao bado unasumbua baadhi ya nchi ulimwenguni katika mipango yao.

Kwa kampuni, ni vyema kuweka bajeti ya kununua vitu muhimu kama vitakasa mikono a tishu na vitu vingine vya usafi vitakavyosaidia kupambana na ugonjwa wa Corona.

Je, kwa mtu binafsi ni nini kinatakiwa kuzingatiwa? tazama video hii kujua zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
18 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
18 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV