Wazazi wanavyowapambania wanafunzi kupata chakula shuleni
April 27, 2022 11:14 am ·
Mwandishi
Pangani/Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Pangani mkoani Tanga wamekuwa mstari wa mbele kuchagiza utoaji wa chakula mashauleni ili kuwapatia wanafunzi nguvu za kusoma ili kufaidika na elimu wanayopata.
Wanachangishana fedha ili kuwawezesha wanafunzia watoto wao kupa chakula shuleni na kuwalipa wapishi. Wanafanya hizo ili kuwaongezea ufanisi darasani ili watimize ndoto zao.
Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii