Infografia: Ahueni madarasa shule za msingi Pangani

March 24, 2022 7:20 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Darasa moja linatumiwa na wanafunzi 49.
  • Baadhi ya shule wilayani humo bado zinakumbana na uhaba wa madarasa.

Dar es Salaam. Wilaya ya Pangani iliyopo Mkoani Tanga ni moja ya wilaya nchini ambazo walau idadi ya madarasa kwa shule za msingi inaridhisha, jambo linalowaweza kuwapata fursa wanafunzi kusoma bila kubanana.

Kwa mujibu wa Takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2020) ziilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) zinaonyesha kuwa darasa moja wilayani humo linatumiwa na wanafunzi 49, uwiano ambao upo juu kidogo ya uwiano wa kitaifa wa darasa moja kwa wanafunzi 45.

Hata hivyo, bado kuna baadhi ya shule wilayani humo zinakumbana na uhaba wa madarasa, jambo linalowechangia kufanya vibaya kwenye masomo na mitihani yao.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV