Infografia: Ahueni madarasa shule za msingi Pangani

March 24, 2022 7:20 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Darasa moja linatumiwa na wanafunzi 49.
  • Baadhi ya shule wilayani humo bado zinakumbana na uhaba wa madarasa.

Dar es Salaam. Wilaya ya Pangani iliyopo Mkoani Tanga ni moja ya wilaya nchini ambazo walau idadi ya madarasa kwa shule za msingi inaridhisha, jambo linalowaweza kuwapata fursa wanafunzi kusoma bila kubanana.

Kwa mujibu wa Takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2020) ziilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) zinaonyesha kuwa darasa moja wilayani humo linatumiwa na wanafunzi 49, uwiano ambao upo juu kidogo ya uwiano wa kitaifa wa darasa moja kwa wanafunzi 45.

Hata hivyo, bado kuna baadhi ya shule wilayani humo zinakumbana na uhaba wa madarasa, jambo linalowechangia kufanya vibaya kwenye masomo na mitihani yao.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Nukta TV

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV