Infografia: Ahueni madarasa shule za msingi Pangani
March 24, 2022 7:20 am ·
Herimina
- Darasa moja linatumiwa na wanafunzi 49.
- Baadhi ya shule wilayani humo bado zinakumbana na uhaba wa madarasa.
Dar es Salaam. Wilaya ya Pangani iliyopo Mkoani Tanga ni moja ya wilaya nchini ambazo walau idadi ya madarasa kwa shule za msingi inaridhisha, jambo linalowaweza kuwapata fursa wanafunzi kusoma bila kubanana.
Kwa mujibu wa Takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2020) ziilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) zinaonyesha kuwa darasa moja wilayani humo linatumiwa na wanafunzi 49, uwiano ambao upo juu kidogo ya uwiano wa kitaifa wa darasa moja kwa wanafunzi 45.
Hata hivyo, bado kuna baadhi ya shule wilayani humo zinakumbana na uhaba wa madarasa, jambo linalowechangia kufanya vibaya kwenye masomo na mitihani yao.

Latest
8 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Ulinzi mkali Dar es Salaam wadhibiti maandamano Desemba 9
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Mchengerwa aipa Wizara ya Afya mwelekeo mpya, watumishi waonywa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Serikali yajipanga kudhibiti maandamano Desemba 9
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani