Walimu wanavyoweza kusaidia wanafunzi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona

February 6, 2021 9:15 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kutunga nyimbo za kuelimisha juu ya Corona pamoja na kuwa mfano wa kuigwa.

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali na mashirika ya kiafya yameendelea kuwaasa watu kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kutumia vitakasa mikono na kuvaa barakoa.

Hata hivyo, huenda ikawa ni ngumu kwa baadhi ya wanafunzi hasa ambao bado ni wadogo kuendana na kasi ya mabadiliko yanayofanyika dhidi ya ugonjwa wa corona.

Yafuatayo ni kati ya mambo ambayo walimu wanaweza kuyafanya ili kuwasaidia wanafunzi hasa wadogo kujikinga na ugonjwa huo wa homa ya mapafu.

                            

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV