Walimu wanavyoweza kusaidia wanafunzi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona

February 6, 2021 9:15 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kutunga nyimbo za kuelimisha juu ya Corona pamoja na kuwa mfano wa kuigwa.

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali na mashirika ya kiafya yameendelea kuwaasa watu kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kutumia vitakasa mikono na kuvaa barakoa.

Hata hivyo, huenda ikawa ni ngumu kwa baadhi ya wanafunzi hasa ambao bado ni wadogo kuendana na kasi ya mabadiliko yanayofanyika dhidi ya ugonjwa wa corona.

Yafuatayo ni kati ya mambo ambayo walimu wanaweza kuyafanya ili kuwasaidia wanafunzi hasa wadogo kujikinga na ugonjwa huo wa homa ya mapafu.

                            

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV