Wanachoweza kufanya wazazi kuwakinga watoto dhidi ya Corona

February 19, 2021 1:13 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Usalama wa watoto huenda ikawa ni changamoto kubwa kwa walimu, wazazi na hata wanajamii kwani huenda wengi wanaumiza vichwa kwa kujiuliza ni kwa namna gani watoto wanaoenda shule wanaweza kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Hata hivyo, yote yanaweza kuanza nyumbani ambapo mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake jinsi ya kuchukua tahadhari.

Tazama video hii kufahamu namna mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV