Wanachoweza kufanya wazazi kuwakinga watoto dhidi ya Corona

February 19, 2021 1:13 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Usalama wa watoto huenda ikawa ni changamoto kubwa kwa walimu, wazazi na hata wanajamii kwani huenda wengi wanaumiza vichwa kwa kujiuliza ni kwa namna gani watoto wanaoenda shule wanaweza kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Hata hivyo, yote yanaweza kuanza nyumbani ambapo mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake jinsi ya kuchukua tahadhari.

Tazama video hii kufahamu namna mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV

Rais Samia: Anzisheni mfuko  kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Rais Samia: Anzisheni mfuko kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV