Wanachoweza kufanya wazazi kuwakinga watoto dhidi ya Corona

February 19, 2021 1:13 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Usalama wa watoto huenda ikawa ni changamoto kubwa kwa walimu, wazazi na hata wanajamii kwani huenda wengi wanaumiza vichwa kwa kujiuliza ni kwa namna gani watoto wanaoenda shule wanaweza kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Hata hivyo, yote yanaweza kuanza nyumbani ambapo mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake jinsi ya kuchukua tahadhari.

Tazama video hii kufahamu namna mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV