Faida utakazozipata ukichukua tahadhari dhidi ya Corona mapema

January 30, 2021 10:08 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Huenda bado unasubiria jirani yako aanze kuvaa barakoa kisha na wewe ndiyo ufanya hivyo au unasubiri hadi uone ndoo za kunawia kwa majirani zimewekwa na wewe ndiyo ufanye hivyo. 

Kama wewe upo katika kundi hilo, unahitaji kujitafakari.

Kwa kupuuza tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona, huenda ukawa katika hatihati ya kupatwa na maambukizi ya ugonjwa huo ambao unasumbua mataifa mengi duniani.

Hata hivyo, endapo utachukua tahadhari mapema dhidi ya ugonjwa huo, unaweza kujiweka salama zaidi dhidi ya ugonjwa huo na kuwalinda unaowazunguka.

Kufahamu zaidi, tazama video hii

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV