Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 30, 2024

December 30, 2024 10:57 am · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ndani ya mwezi Disemba thamani ya shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,608 na kuuzwa Sh2,634 Disemba 2, 2024.

Thamani ya Dola ya Marekani ilishuka zaidi Disemba 13, hadi kufikia Sh2,298, bei ambayo ni kiwango chini zaidi kurekodiwa ndani ya mwaka huu.

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba, amesema kuwa kupanda kwa thamani ya shilingi kunatokana na mambo mbalimbali, ikiwemo kuimarika kwa uchumi wa Marekani na kushuka kwa viwango vya riba nchini humo. Hali hii imevutia wawekezaji kuelekeza mitaji yao katika masoko mengine, hivyo kuongeza upatikanaji wa dola za Marekani kwenye soko la kimataifa.

Ndani ya kipindi sawa cha mwezi mmoja, bei ya dhahabu pia imeshuka kwa Sh675,153, ambayo ni sawa na upungufu wa takriban asilimia 9.74, kutoka Sh6,929,631 milioni iliyokuwa ikitumika kununua Disemba 2 hadi Sh6,254,478 inayotumika kununua leo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
26 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV