VIDEO: Ufanye nini unaposafiri nje ya nchi wakati wa Corona?

November 24, 2020 7:11 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kabla ya kusafiri kuelekea nje ya nchi, ni muhimu kufahamu kuwa baadhi ya nchi bado zina maambukizi makubwa ya ugonjwa wa Covid-19 hivyo inakupasa uchukue tahadhari.

Endapo unampango wa kusafiri kuelekea nchi yeyotehivi karibuni, hakikisha unauelewa wa hatua za kuchukua dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 na zaidi mbinu za kuepukana na kupata maambukizi ya ugonjwa huo. Tazama video hii kuelewa zaidi.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW