Ufanye nini unapoona dalili za Corona kwa mwanafamilia?

March 26, 2021 3:04 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kumpatia chumba cha pekee yake huku wanafamilia wengine wakichukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kutokana na baadhi ya shughuli za kijamii kuendelea, huenda baadhi ya wanafamilia wamekuwa wakichangama na mara kadhaa na watu wengine huku wakati mwingine wakisahau kuchukua tahadhari.

Kuchangamana huko kunaweza kutokea kazini, shuleni, maeneo ya  ibada na hata sehemu za starehe na endapo tahadhari stahiki haichukuliwi ipasavyo, kunakuwa na uwezekano wa mtu kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Endapo hali hiyo itatokea kwa mmoja ya mwanafamilia nyumbani kuna hatua muhimu za kuchukua ili kuhakikisha anahudumiwa vyema na kupunguza hatari ya kuwaambukiza wengine. Tazama video hii kufahamu nini cha kufanya ili kujikinga na maambukizi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV