Kujikinga na COVId-19 shuleni fanya haya

April 12, 2021 1:10 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Walimu na wanafunzi waelimishwe kwa uwazi kuhusu dalili na kinga ya COVID-19. Pia umuhimu wa kunawa mikono, kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW