Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 12, 2025
March 12, 2025 10:13 am ·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki ya CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Machi 12, 2025.
Viwango hivi, vinavyotarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.

Latest

4 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Spika Tulia ataka majibu ya Serikali tuhuma matumizi mabaya ya fedha Arusha.

7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tamisemi yaomba kuidhinishiwa Sh11 trilioni mwaka wa fedha 2025-26

11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
CCM yabadili ratiba uchukuaji fomu ubunge, udiwani, uwakilishi

12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Aprili 16, 2025