Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 12, 2025
March 12, 2025 10:13 am ·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki ya CRDB na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Machi 12, 2025.
Viwango hivi, vinavyotarajiwa kubadilika kutokana na mwenendo wa soko wa kila siku, husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi.

Latest

8 minutes ago
·
Lucy Samson
Tanzania yapanga kukusanya na kutumia Sh57 trilioni bajeti ya Serikali 2025/26

3 hours ago
·
Lucy Samson
Serikali yatoa mwongozo kwa wasafiri kudhibiti M-Pox

20 hours ago
·
Lucy Samson
CCM yatangaza ukomo wa wabunge wa viti maalum

22 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia: Mnaotaka kugombea ubunge, udiwani toeni taarifa mapema