Tanzania yaimarisha mapambano dhidi ya Uviko-19

December 20, 2021 2:04 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezidi kuimarisha hatua za kupambana dhidi ya janga la corona, ikiwemo mikakati ya kuongeza utoaji wa chanjo ya ugonjwa huo.

Mikakati hiyo ni pamoja na kuzindua awamu ya pili ya kampeni ya jamii shirikishi itakayoanza Desemba 22 mwaka huu jijini Arusha, ambayo  itahusisha watoa huduma ngazi ya jamii zaidi ya 8,130 waliopatiwa mafunzo ya kuelimisha na kuhimiza wananchi kupata chanjo ya Uviko-19.

Hadi Desemba 18 zaidi ya watu milioni 1.28 sawa na asilimia 2.2 ya watu wote Tanzania walikuwa wamekwisha chanja chanjo ya Uviko-19 na kupata kinga kamili.

Aidha Wizara ya Afya imeeleza kuwa visa vya Uviko-19 vinaongezeka kwa kasi na kuwaomba wananchi waendelee kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa huo ikiwemo kunawa mikono.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Nukta TV

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Nukta TV