Tanzania yaimarisha mapambano dhidi ya Uviko-19

December 20, 2021 2:04 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imezidi kuimarisha hatua za kupambana dhidi ya janga la corona, ikiwemo mikakati ya kuongeza utoaji wa chanjo ya ugonjwa huo.

Mikakati hiyo ni pamoja na kuzindua awamu ya pili ya kampeni ya jamii shirikishi itakayoanza Desemba 22 mwaka huu jijini Arusha, ambayo  itahusisha watoa huduma ngazi ya jamii zaidi ya 8,130 waliopatiwa mafunzo ya kuelimisha na kuhimiza wananchi kupata chanjo ya Uviko-19.

Hadi Desemba 18 zaidi ya watu milioni 1.28 sawa na asilimia 2.2 ya watu wote Tanzania walikuwa wamekwisha chanja chanjo ya Uviko-19 na kupata kinga kamili.

Aidha Wizara ya Afya imeeleza kuwa visa vya Uviko-19 vinaongezeka kwa kasi na kuwaomba wananchi waendelee kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa huo ikiwemo kunawa mikono.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV