Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?

December 20, 2021 4:28 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?

Kwa mujibu wa Afisa wa Chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dk Phionah Atuhebwe, wanawake wajawazito wanaruhusiwa kupata chanjo ya Uviko-19 kwa sababu ni salama na inawahakikishia ulinzi dhidi ya ugonjwa huo. 

Mazingira gani yanaruhusu wajawazito kupata chanjo?

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW