Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
December 20, 2021 4:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
Kwa mujibu wa Afisa wa Chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dk Phionah Atuhebwe, wanawake wajawazito wanaruhusiwa kupata chanjo ya Uviko-19 kwa sababu ni salama na inawahakikishia ulinzi dhidi ya ugonjwa huo.
Mazingira gani yanaruhusu wajawazito kupata chanjo?

Latest
10 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
53 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650