Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
December 20, 2021 4:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
Kwa mujibu wa Afisa wa Chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dk Phionah Atuhebwe, wanawake wajawazito wanaruhusiwa kupata chanjo ya Uviko-19 kwa sababu ni salama na inawahakikishia ulinzi dhidi ya ugonjwa huo.Â
​Mazingira gani yanaruhusu wajawazito kupata chanjo?
