Ni sahihi kupata chanjo ya Corona ukiwa mjamzito?
July 1, 2021 8:38 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kuna maswali mengi kuhusu usahihi wa wajawazito kupata chanjo ya Corona.
Kwa mujibu wa Afisa wa Chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dk Phionah Atuhebwe, wanawake wajawazito wanaruhusiwa kupata chanjo ya COVID-19 kwa sababu ni salama na inawahakikishia ulinzi dhidi ya ugonjwa huo.
Mazingira gani yanaruhusu wajawazito kupata chanjo?

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
