Namna ya kuwasaidia ndugu, marafiki wanaopuuzia tahadhari dhidi ya Uviko-19

December 22, 2021 4:56 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati huu wa Uviko-19 ni  muhimu kuhimiza ndugu, jamaa na marafiki ambao wanapuuza kanuni za kujikinga na ugonjwa huo.

Moja ya vitu vya kuhamasisha ni uvaaji wa barakoa ambao kwa sasa umekuwa ukipuuzwa na watu wengi, hivyo kuweka hatari ya kuambukizana ugonjwa huo.

Hata hivyo, ni muhimu kuhakikisha kuwa unakuwa mfano wa kuigwa kwa kutekeleza kwa vitendo yale ambayo unahimiza wengine wayafanye ikiwemo kwenda kuchanja kinga ya Uviko-19 pamoja na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka kila wakati.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV