Umuhimu wa chanjo ya Uviko-19 kwa walemavu

October 25, 2021 1:15 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Kutokana na  changamoto mbalimbali wanazopitia walemavu, zinawaweka katika hatari kubwa ya kuambukizwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19) ni muhimu kuwapa kipaumbele katika utoaji wa chanjo ya ugonjwa huo.

Changamoto hizo ni pamoja na  ugumu wa kupata taarifa kuhusu Uviko-19 hasa kwa walemavu wa macho na masikio.

Vile vile ugumu wa kujitenga na watu wengine hasa kwa walemavu wanaoishi katika uwingi wa watu na wale ambao wanaihitaji wasaidizi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV