Maoni mchanganyiko Watanzania wakijiandaa kupiga kura Oktoba 29

October 27, 2025 4:07 pm · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Zikiwa zimebakia siku mbili Uchaguzi Mkuu kufanyika, Watanzania wamekuwa na maoni tofauti kuhusu uchaguzi huo huku baadhi wakisema watatumia vizuri haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Uchaguzi Mkuu utafanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 ambapo Watanzania watamchagua Rais, Wabunge na Madiwani. 

Nukta TV imepita mitaani katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam, Mwanza na Arusha kuzungumza na Watanzania ili maoni ya jinsi walivyojiandaa na uchaguzi huo.

Baadhi ya wananchi waliozungumza na Nukta TV wapo ambao ni kwa mara ya kwanza wanashiriki Uchaguzi Mkuu na wengine wameshiriki chaguzi zilizopita.

Wamekuwa na maoni tofauti kulingana na maono yao pamoja na uzoefu wao katika ushiriki katika chaguzi zilizopita. 

Zaidi tazama video hii

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV