Mamilioni ya dozi za chanjo ya Corona yatolewa duniani
March 30, 2021 11:39 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya mataifa kuendelea kujipa muda wa kuzichunguza chanjo za Covid-19 kabla ya kutoa kwa watu wake, takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha mamilioni ya dozi za chanjo ya ugonjwa huo yameshatolewa ulimwenguni.
