Mamilioni ya dozi za chanjo ya Corona yatolewa duniani

March 30, 2021 11:39 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya mataifa kuendelea kujipa muda wa kuzichunguza chanjo za Covid-19 kabla ya kutoa kwa watu wake, takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha mamilioni ya dozi za chanjo ya ugonjwa huo yameshatolewa ulimwenguni.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW