Chanjo zilizo mstari wa mbele kupambana na Corona duniani

June 23, 2021 12:42 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Zimetengenezwa nchi mbalmbali ikiwemo Marekani na Ujerumani.
  • Chanjo hizo zimetofautiana kiwango cha ufanisi wake katika kupambana na Covid-19.

Dar es Salaam. Utolewaji wa chanjo ya ugonjwa wa Corona ni kati ya sehemu ambazo zimekuwa na habari za uzushi katika mitandao ya kijamii.

Video, picha na sauti zimekuwa zikizunguka katika mitandao ya kijamii zikiongelea mazuri, mabaya na yasiyojulikana kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Corona.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha chanjo maarufu ambazo zimeidhinishwa kupambana na Corona na ambazo zimeanza kuleta matokeo mazuri licha ya kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yanaongezeka kila siku.

Tazama video hii kuzifahamu chanjo hizo ikiwemo ya Oxford/AstraZeneca ambayo ndiyo inasambazwa katika maeneo mengi kupitia programu ya Umoja wa Mataifa ya COVAX. 

                   

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV