Chanjo zilizo mstari wa mbele kupambana na Corona duniani

June 23, 2021 12:42 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Zimetengenezwa nchi mbalmbali ikiwemo Marekani na Ujerumani.
  • Chanjo hizo zimetofautiana kiwango cha ufanisi wake katika kupambana na Covid-19.

Dar es Salaam. Utolewaji wa chanjo ya ugonjwa wa Corona ni kati ya sehemu ambazo zimekuwa na habari za uzushi katika mitandao ya kijamii.

Video, picha na sauti zimekuwa zikizunguka katika mitandao ya kijamii zikiongelea mazuri, mabaya na yasiyojulikana kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Corona.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha chanjo maarufu ambazo zimeidhinishwa kupambana na Corona na ambazo zimeanza kuleta matokeo mazuri licha ya kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yanaongezeka kila siku.

Tazama video hii kuzifahamu chanjo hizo ikiwemo ya Oxford/AstraZeneca ambayo ndiyo inasambazwa katika maeneo mengi kupitia programu ya Umoja wa Mataifa ya COVAX. 

                   

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV