Hali halisi ya utoaji wa chanjo ya Corona duniani
June 23, 2021 6:09 am ยท
Daniel Samson
Dar es Salaam. Mataifa mbalimbali ulimwenguni yanaendelea na zoezi la kutoa chanjo kwa raia wake ili kuwakinga na janga la Corona ambalo limeathiri shughuli mbalimbali zikiwemo za usafiri na kiuchumi jambo lililoleta changamoto katika utekelezaji wa sera za afya duniani.
Hadi kufikia Juni 21 mwaka huu, zaidi ya dozi milioni 2.5 za chanjo za Corona zimetolewa katika maeneo mbalimbali duniani huku vifo vinavyotokana na Covid-19 vikifikia milioni 3.8. Hii ndiyo hali halisi ya utoaji wa chanjo duniani kwa sasa:

Latest
6 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย