Hali halisi ya utoaji wa chanjo ya Corona duniani

June 23, 2021 6:09 am ยท Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mataifa mbalimbali ulimwenguni yanaendelea na zoezi la kutoa chanjo kwa raia wake ili kuwakinga na janga la Corona ambalo limeathiri shughuli mbalimbali zikiwemo za usafiri na kiuchumi jambo lililoleta changamoto katika utekelezaji wa sera za afya duniani.

Hadi kufikia Juni 21 mwaka huu, zaidi ya dozi milioni 2.5 za chanjo za Corona zimetolewa katika maeneo mbalimbali duniani huku vifo vinavyotokana na Covid-19 vikifikia milioni 3.8. Hii ndiyo hali halisi ya utoaji wa chanjo duniani kwa sasa:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW