Hali halisi ya utoaji wa chanjo ya Corona duniani
June 23, 2021 6:09 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Mataifa mbalimbali ulimwenguni yanaendelea na zoezi la kutoa chanjo kwa raia wake ili kuwakinga na janga la Corona ambalo limeathiri shughuli mbalimbali zikiwemo za usafiri na kiuchumi jambo lililoleta changamoto katika utekelezaji wa sera za afya duniani.
Hadi kufikia Juni 21 mwaka huu, zaidi ya dozi milioni 2.5 za chanjo za Corona zimetolewa katika maeneo mbalimbali duniani huku vifo vinavyotokana na Covid-19 vikifikia milioni 3.8. Hii ndiyo hali halisi ya utoaji wa chanjo duniani kwa sasa:

Latest
7 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
50 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650