Kasi ya maamukizi ya Uviko-19 yapungua Tanzania

September 8, 2022 2:20 pm · admin
Share
Tweet
Copy Link
  • Asimilia 60 ya walengwa wachanjwa chanjo ya Uviko-19.
  • Watu waonywa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es salaam. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini imepungua kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kudhibiti ugonjwa huo.

Ummy katika taarifa ya mwenendo wa maambukizi ya Uviko-19 iliyotolewa leo Septemba 8,2022 imeeleza kuwa pamoja na kasi ya maambukizi mapya kupungua tayari asilimia 60 ya walengwa wa chanjo ya Uviko-19 wameshachanja.

Hata hivyo taarifa hiyo imeonya kwamba watu waendelee kuchukua tahadhari za ugonjwa huo ikiwemo kupata chanjo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV