Corona: Zingatia haya kabla ya kwenda kumtembelea mgonjwa hospitali

April 1, 2021 5:44 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kabla ya kwenda kumtembelea mgonjwa hospitali wakati wa Corona, hakikisha una taarifa muhimu kuhusu utaratibu wa kumuona mgonjwa hospitali na huku ukikumbuka kuvaa barakoa na kuosha mikono.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW