Epuka haya unapotumia kitakasa mikono
December 15, 2021 1:07 pm ·
Daniel Samson
- Kitakasa mikono kikitumika vyema, ni afua dhidi ya virusi vya Uviko-19.
Dar es Salaam. Kitakasa mikono (sanitizer) ni miongoni mwa afua za ugonjwa wa Corona (Covid-19) ikiwa kitatumika kwa usahihi. Unashauriwa kupaka katika mikono yako mara kwa mara hasa unapogusa sehemu zinazoshikwa na watu wengi ikiwemo vitasa vya milango, lifti na ngazi za maghorofa.
Hata hivyo, usipotumia kwa usahihi kitakasa mikono unaweza kupata madhara ya kiafya.
Tumia dondoo hizi unapotumia afua hiyo dhidi ya Uviko-19:

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka