Infografia: Wananchi wanavyoweza kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za umma.

February 9, 2022 8:13 am ยท Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wananchi wanaweza kushiriki kusimamia na kudhibiti matumizi ya rasilimali za umma katika ngazi ya kijiji ikiwa watashiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi sahihi yanayohusu maendeleo katika maeneo yao.

Pia wanatakiwa kuhoji utendaji wa viongozi wao na kuhamasisha uwazi wa taarifa za mapato na matumizi ya rasilimali za kijiji au mtaa.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW