Infografia: Wananchi wanavyoweza kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za umma.

February 9, 2022 8:13 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wananchi wanaweza kushiriki kusimamia na kudhibiti matumizi ya rasilimali za umma katika ngazi ya kijiji ikiwa watashiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi sahihi yanayohusu maendeleo katika maeneo yao.

Pia wanatakiwa kuhoji utendaji wa viongozi wao na kuhamasisha uwazi wa taarifa za mapato na matumizi ya rasilimali za kijiji au mtaa.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

Nukta TV

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV