Infografia: Wananchi wanavyoweza kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
February 9, 2022 8:13 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Wananchi wanaweza kushiriki kusimamia na kudhibiti matumizi ya rasilimali za umma katika ngazi ya kijiji ikiwa watashiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi sahihi yanayohusu maendeleo katika maeneo yao.
Pia wanatakiwa kuhoji utendaji wa viongozi wao na kuhamasisha uwazi wa taarifa za mapato na matumizi ya rasilimali za kijiji au mtaa.

Latest
6 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
7 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo