Ujumuishaji wa kifedha una umuhimu gani kwa maendeleo ya wananchi?
February 2, 2022 7:14 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ikiwa wananchi watatumia kikamilifu huduma za kifedha hasa mtandaoni itawasaidia kuondokana na umaskini na kuwawezesha kupata kipato cha kuboresha maisha.
Hiyo ni fursa pia kwa wananchi hasa wakulima katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ambao wanategemea kilimo cha pamba na alizeti kujipatia mitaji na mikopo kuendesha shughuli zao.
