Ujumuishaji wa kifedha una umuhimu gani kwa maendeleo ya wananchi?

February 2, 2022 7:14 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ikiwa wananchi watatumia kikamilifu huduma za kifedha hasa mtandaoni itawasaidia kuondokana na umaskini na kuwawezesha kupata kipato cha kuboresha maisha.

Hiyo ni fursa pia kwa wananchi hasa wakulima katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ambao wanategemea kilimo cha pamba na alizeti kujipatia mitaji na mikopo kuendesha shughuli zao.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV