Hatari ya aina mpya ya kirusi cha Uviko-19

November 6, 2021 7:41 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Kinasamba kwa kasi ya asilimia 30 mpaka 60.
  • Wataalam wa afya washauri watu kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), kirusi kipya aina ya Delta cha Uviko-19 ni hatari zaidi kwa maisha ya watu kutokana na uwezo wa kujinyumbulisha na kuzambaza maambukizi.

linasambaa kwa kasi kubwa ikilinganishwa na virusi vingine kwenye wimbi la kwanza na la pili barani Afrika, limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO.

Kirusi hicho ambacho kiko katika wimbi la tatu la janga la corona ni kibaya zaidi ikilinganishwa wakati wa mlipuko wa kwanza na wa pili kwani kasi yake ya kusambaa ni zaidi ya asilimia 30 mpaka 60.

Ufanye nini kujikinga na Uviko-19? Pata chanjo na chukua tahadhari hizi?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV