Hatari ya aina mpya ya kirusi cha Uviko-19

November 6, 2021 7:41 am ยท Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Kinasamba kwa kasi ya asilimia 30 mpaka 60.
  • Wataalam wa afya washauri watu kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), kirusi kipya aina ya Delta cha Uviko-19 ni hatari zaidi kwa maisha ya watu kutokana na uwezo wa kujinyumbulisha na kuzambaza maambukizi.

linasambaa kwa kasi kubwa ikilinganishwa na virusi vingine kwenye wimbi la kwanza na la pili barani Afrika, limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO.

Kirusi hicho ambacho kiko katika wimbi la tatu la janga la corona ni kibaya zaidi ikilinganishwa wakati wa mlipuko wa kwanza na wa pili kwani kasi yake ya kusambaa ni zaidi ya asilimia 30 mpaka 60.

Ufanye nini kujikinga na Uviko-19? Pata chanjo na chukua tahadhari hizi?

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW