Jinsi ya kuishinda taharuki ya kirusi kipya cha Uviko-19

December 10, 2021 9:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao unahofia maisha yako kuhusu aina mpya ya kirusi cha Corona cha “Omicron” ambacho kimeripotiwa katika maeneo mbalimbali duniani. Fahamu kuwa mapambano dhidi ya kirusi hicho yanaendelea na hutakiwi kuwa na hofu, endelea na maisha yako kama kawaida.

Katika kipindi hiki, pata chanjo ya Uviko-19, vaa barakoa, nawa mikono na epuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV