Mambo yatakayosaidia kukishinda kirusi kipya cha Corona

December 2, 2021 12:57 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa kirusi kipya cha Corona aina ya ‘Omicron’ kinazidi kusambaa duniani ambapo kwa sasa kimeripotiwa katika nchi 23. 

Kutokana na hali hiyo, wanasayansi wanaendelea kufanya tafiti juu ya kirusi hicho, uwezo wake na madhara kinayoweza kusababisha ili kuwakinga watu.

Kwa sasa, WHO na mamlaka za afya nchini Tanzania zimewataka wtu kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kupata chanjo, kunawa mikono, kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW