Mambo yatakayosaidia kukishinda kirusi kipya cha Corona

December 2, 2021 12:57 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa kirusi kipya cha Corona aina ya ‘Omicron’ kinazidi kusambaa duniani ambapo kwa sasa kimeripotiwa katika nchi 23. 

Kutokana na hali hiyo, wanasayansi wanaendelea kufanya tafiti juu ya kirusi hicho, uwezo wake na madhara kinayoweza kusababisha ili kuwakinga watu.

Kwa sasa, WHO na mamlaka za afya nchini Tanzania zimewataka wtu kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kupata chanjo, kunawa mikono, kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Nukta TV

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV