Tahadhari: Kirusi kipya cha Corona

November 29, 2021 12:10 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kirusi cha Omicron, chenye uwezo wa kusambaa haraka.
  • Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO), Novemba 26, 2021 liliripoti uwepo wa aina mpya ya kirusi cha Uviko-19 kiitwacho “Omicron”, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka.

Kutokana na hali hiyo, Wizara ya Afya Tanzania imetoa tahadhari kwa Watanzania kuendelea kufuata ushauri wa wataalam wa afya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo.

Hatua hizo ni pamoja na kuchanja chanjo ya Uviko-19 ambazo zinatolewa bure kwenye vituo vya afya na kuepuka sehemu zenye mikusanyiko ya watu.

Vile vile, uvaaji barakoa, kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV