Tahadhari: Kirusi kipya cha Corona

November 29, 2021 12:10 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kirusi cha Omicron, chenye uwezo wa kusambaa haraka.
  • Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO), Novemba 26, 2021 liliripoti uwepo wa aina mpya ya kirusi cha Uviko-19 kiitwacho “Omicron”, kinachosemekana kuwa na uwezo wa kusambaa haraka.

Kutokana na hali hiyo, Wizara ya Afya Tanzania imetoa tahadhari kwa Watanzania kuendelea kufuata ushauri wa wataalam wa afya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo.

Hatua hizo ni pamoja na kuchanja chanjo ya Uviko-19 ambazo zinatolewa bure kwenye vituo vya afya na kuepuka sehemu zenye mikusanyiko ya watu.

Vile vile, uvaaji barakoa, kunawa mikono na sabuni kwa maji tiririka.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV