Ukweli kuhusu kirusi cha Corona aina ya Omicron

December 16, 2021 5:07 am ยท Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kirusi hicho hakizalishwi maabara kama inavyozushwa na baadhi ya watu bali ni muendelezo wa kusambaa wa Corona hivyo kuufanya ugonjwa huo kujinyumbulisha na kuzalisha virusi vipya.

Njia pekee ya kujinusuru na ugonjwa huo ni kupata chanjo na kuendelea kuchukua tahadhari.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW