Ukweli kuhusu kirusi cha Corona aina ya Omicron
December 16, 2021 5:07 am ยท
Mwandishi
Dar es Salaam. Kirusi hicho hakizalishwi maabara kama inavyozushwa na baadhi ya watu bali ni muendelezo wa kusambaa wa Corona hivyo kuufanya ugonjwa huo kujinyumbulisha na kuzalisha virusi vipya.
Njia pekee ya kujinusuru na ugonjwa huo ni kupata chanjo na kuendelea kuchukua tahadhari.

Latest
7 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
