Ukweli kuhusu kirusi cha Corona aina ya Omicron
December 16, 2021 5:07 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kirusi hicho hakizalishwi maabara kama inavyozushwa na baadhi ya watu bali ni muendelezo wa kusambaa wa Corona hivyo kuufanya ugonjwa huo kujinyumbulisha na kuzalisha virusi vipya.
Njia pekee ya kujinusuru na ugonjwa huo ni kupata chanjo na kuendelea kuchukua tahadhari.
